Akili ndogo huwezi kuelewa. Wewe umetaja tukio na mimi nimetaja tukio ila ulivyo kilaza unataka mimi niweke uthibitisho wakati wewe hujaweka.Niweke nini?
Wewe utakuwa na upeo mdogo!
Yaani akili yako kiduchu inakuaminisha wote wanaopitia huu uzi wameona tukio unalolisema na hakuna aliewahi ona tukio nililolitaja mimi hivyo nithibitishe. Ukilaza ni tabu.