Ligi Kuu Bara : Simba SC vs Azam FC


Ina maana hao waamuzi ambao wewe unawaita binaadamu...udhaifu wao wa kukosea nj kwa upande wa Yanga tu...??
 
simba watasubiri sana kwa yanga, hawana ela yakusajiri wachezaji hodari
 
Naona uliandika hii kitu huku ukiwa bar. Ushauri wa bure usiwe unaingia JF huku ukiwa bwii.

Ova
Umefurahia hiyo sale ulikuwa wap kuipinga mapema kama unajiamini?
 
simba watasubiri sana kwa yanga, hawana ela yakusajiri wachezaji hodari

Rekebisha Kiswahili hapo, sio hatuna hela ya kununua wachezaji, ila hatuna hela ya kununulia mechi na marefa.
Tunalinda heshima yetu, hatuwezi haribu CV yetu ya kucheza fainali ya CAF kwa upuuzi wa kununua mechi na marefa.
Hiyo kazi ya kununua mechi tumewaachia lambalamba na chura wa pale jangwani.

Ova
 
Ha ha ha haaaa... Kunywa maji mengi mkuu ili tungi lishuke kidogo twende sawa.

Ova
Umeshikwa pabaya maji ni ya ray droo mnaselebuka jiachie mkuu hali mbaya saiv mnajificha chini ya uvungu
 

Kweli kabisa Yanga wana sub za kutosha, ambao ni Jamali Malinzi na marefa wa mchezo.
Mko vizuri sana katika kitengo cha kununua marefa.

Ova
 

Kwa vifaa gani vya maana? Mbona hatuviona mlipocheza na Mwarabu?

Ova
 
Huyo Malinzi alishawahi kuwa Katibu Mkuu wa Yanga, hapo unategemea nini? Huyu kiumbe ni zaidi ya jipu.

Ova
Msimu uliopita wakati anairuhusu Simba kumchezesha mchezaji mwenye kadi 3 za njano (Abdi Banda) mbona hukuleta hayo Malalamiko!!!!!!!! Huwezi kugombea ubingwa ukiwa na wachezaji kama Akina Paul Kiongola, Hajji Ugando, Mussa Mgosi, Majwega, eti mlinzi wa kutegemewa wa timu Novart Lufunga!!!!! Utani huu.....
Tafuteni ufumbuzi wa tatizo la kufanya vibaya sio kulalama kila siku Malinzi Malinzi!!!!!!
 
Simba wamemsajili Mzee Musa Mgosi striker tangu asajiliwe hajafunga goli halafu bado wanalalamika Yanga wananunua mechi
 
Kweli kabisa Yanga wana sub za kutosha, ambao ni Jamali Malinzi na marefa wa mchezo.
Mko vizuri sana katika kitengo cha kununua marefa.

Ova

Kwa hiyo Kaburu anayepanga marefa amehamia Yanga siku hizi ?
 
Huyo Malinzi alishawahi kuwa Katibu Mkuu wa Yanga, hapo unategemea nini? Huyu kiumbe ni zaidi ya jipu.

Ova

Yanga imeanza kumnyanyasa Simba kabla hata huyo Malinzi hajazaliwa
 
Simba wamemsajili Mzee Musa Mgosi striker tangu asajiliwe hajafunga goli halafu bado wanalalamika Yanga wananunua mechi
Shida kubwa ya hawa wenzetu hawatumii akili kufikiria chanzo cha matatizo ya timu yao, hivi kwa msimu huu bado hawajajua kuwa wana kikosi dhaifu kuliko cha Yanga kweli!!!!!???
Hebu ona kiongela ana faida gani kwenye timu!! Mussa Mgosi!!! Hajji Ugando! Brian Majwega!!!! Hivi kweli viongoz wa Simba wapo series na ubingwa?????? Sasa balaa litokee Kiiza amekosa kwenye kikosi unategemea simba ipate goli??? Hapana,
Hebu Check kwa upande wa Yanga, Kama Tambwe hayupo atafunga Busungu, Busungu hayupo kuna Nonga, Kuna kaseke atafunga, kuna Msuva yupo atafunga, yupo Ngoma na hapo bado kuna viungo wenye uwezo wa kufunga kama Kamusoko, Niyonzima wakishindwa hao kukufunga atakufunga Juma Abduli.
Simba wakiendelea kulalama bila kutafuta chanzo cha timu yao kufanya vibaya basi itawachukuwa muda mrefu ili warudi tena kwenye ubora wao.
 
Jamani Yanga timu yangu , naona raha. Wapinzani wanawaza shida tu. wangoje msimu ujao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…