Kuna wadau muhimu kwa timu zote mbili katika jukwaa hili siwaoni KULIKONiiiiiiiiiiiii.
Nakuunga mkono, Kama kadi mbili nyekundu kashindwa kutoa.
Katavi , dk yangapi
Kule siasani....kwa sasa wacha tuangalie simba itakavyofungwa
Hafuati kanuni za mchezo eti kisa asiuharibu!
kwa mnao icheki hapo live mseme simba vp hukooo
Umeanza pumba zako kabla hata sijakutajia......
tupeni matokeo acheni kusozana humu kama kila mtu anamuona huyo refa !