Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Huyu refarii kimeo kweli huyu, anaibeba mikia wazi wazi.
mkolaj bora useme refarii kimeo lakini usiseme anaibeba Simba.....Ukiwa fair utakubaliana nami Mrwanda alipaswa kuwa nje kwa red-card....
 
Last edited by a moderator:
Hata hivyo nashangaa taulo lote lile la nini??

Labda ishu iwe ukubwa wa taulo, ila sio taulo, ila sidhani kama ndo mechi ya kwanza Ivo kufanya hivyo, ni kwamba tu leo inacheza na Yanga!
 
Kipindi cha pili ushindi kwa yanga ni lazima japo refa ameshindwa kumudu mchezo.
 
tuwekeeni taarifa kamili.......
mfano...inaandikwa mtu amepatiwa kadi ya njano, inatakiwa iandikwe amefanya nini na kwa mazingira gani? ndo uchambuzi huo.

Hiyo haiwezekani mkuu. Katavi hawezi kusema hayo madudu ya refa.
 
Last edited by a moderator:
mkolaj bora useme refarii kimeo lakini usiseme anaibeba Simba.....Ukiwa fair utakubaliana nami Mrwanda alipaswa kuwa nje kwa red-card....
Huyu refarii hata kuchezesha ndondo haifa, Kessy kapiga mtu ngwala halafu anatizama tu!! mtu kapigwa kipepsi bila kuwapo mpira halafu bado unatoa njano!?
 
Last edited by a moderator:
Mtoto Albino mwenye miaka 6 amekatwa mkono na watu wasiojulikana huko mkoani RUKWA, tukio limetokea leo Jumapili tarehe 08.03.2015.
source: Azam TV Breaking News
 
Kipindi cha pili ushindi kwa yanga ni lazima japo refa ameshindwa kumudu mchezo.

Kawabeba, hambebeki, naona mmeamua kuwa kickboxers, na refa yuko poa tu na hilo!
Mmeamua pia kusubiri kaunta attack maana simba wanacheza mpira wa kwenye kitabu, mnakimbiza tu vivuli na kucheza rafu!!
Naodha wenu ana moyo mwepesi sana, anapaniki fasta yaani anayeyuka kama barafu juani! Akikutana uso kwa uso na Okwi, ana kadi nyingine!
 
Back
Top Bottom