Naona Yanga wanabebwa kweli
wanabebwa mgongoni au kichwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Yanga wanabebwa kweli
Nasikia kocha wa simba ameshawaaga wachezaji wake
Naona Yanga wanabebwa kweli
kipindi cha kwanza njano, kipindi cha pili nyekundu
tuwekeeni taarifa kamili.......
mfano...inaandikwa mtu amepatiwa kadi ya njano, inatakiwa iandikwe amefanya nini na kwa mazingira gani? ndo uchambuzi huo.