Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Mechi baina ya waganga wa kienyeji,mmoja yupo zanzibar akiwalisha simba na mwingine yupo 'bwagamoyo' akiwatetea yanga, haya sasa!
 
Acha hizo wewe, tulia uangalie mpira.

Naangalia mpira, ukweli ni kwamba mmezidiwa! Umeona na takwimu za Azam? Angalia maelezo pia na replay uone mlivyokuwa mnapelekwa puta!
Tatizo madingi, pumzi inakata na yosso ndo kwanza wamebalehe, fired up!
 
Anaharibu umakini wa wachezaji kwa kadi zake anazotoa kama vile kapewa maelezo na wakubwa waliompa hiyo kazi leo.
Huyu refarii ningekuwa nakaa nae mtaa mmoja leo angeisoma namba pumbavu huyu......
 
Simba XI : Ivo Mapunda, Kessy Ramadhan, Mohamed Hussein, Hassan Isihska, Juuko Murshid, Abdi Banda, Ramadhan Singano, Jonas Mkude, Ibrahim Ajib, Said Ndemla, Emmanuel Okwi,

Dogo kessy yuko vizuri leo kambana Dan hadi kafanya madhambi.
 
Kipindi cha pili refa abadilishwe, huyu wa sasa ameshindwa kumudu pambano
 
Kuna wadau muhimu kwa timu zote mbili katika jukwaa hili siwaoni KULIKONiiiiiiiiiiiii.
 
Huyu refarii hata kuchezesha ndondo haifa, Kessy kapiga mtu ngwala halafu anatizama tu!! mtu kapigwa kipepsi bila kuwapo mpira halafu bado unatoa njano!?

Hapa ndipo tunapokosea mdau, kuonywa hakuangalii unampira au hauna ukifanya noma unazawadiwa tu.
Refa yuko poa tu kutokana na hali ya mchezo wenyewe.
 
Kipindi cha pili ushindi kwa yanga ni lazima japo refa ameshindwa kumudu mchezo.

Kweli kabisa refa kashindwa kumudu mchezo, yanga ilibidi wawe pungufu mpaka sasa!
 
Back
Top Bottom