Yaani katika michezo mitano tuliyokutana na hawa jamaa ni kuwapiga na au draw. Jerry Muro alisema Simba si lolote si chochote na wasichukue kiki kupitia kwao. Leo naamini. Katepeta mbaya nyooooo Jerry Muro!
mbona nyinyi mmeshindwa kutumia hizo fitna kama kweli zipo?mpira uwanjani,mbwembwe kibao kabla ya game matokeo yake mmepigwa kipara mara nyingine tena,au hili nalo ni bonanza?