Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee leo nimeshuhudia soka la barcelona nchini tanzania.
Kwani maelezo yangu hayajaeleweka? Mbona povu! Pole. Maelezo yangu yanauliza tena kiutani! Pole tena kwa kichapo leo!
Reporter Uwanja wa Taifa said:Simba wanamaliza mpira kwa kupiga pasi zaidi ya 28 bila ya kupoteza hadi mwamuzi Martin Saanya alipomaliza mpira
laki si pesa unajisikiaje shemejiiiiii... simba hawezi kuhangaika na yanga hata siku moja. huyu ni mke wake wa zama na zama.... wala hana haja ya kudanganyia simu wala nini anampigia simu anamwita anakuja anampakata anamruhusu aende zake .... simba hata angefungwa na timu zote bado yanga ni mbovu sana. haalfu angalien huyu manji. alisema angerudisha zile 5- 0 siku zinaenda tu. sisi simba hatuna hiyana na ninyi hata mktaka wachezaji wetu wote tunawapa kama kawaida we umewahi ona simba inahangaika sana na wachezaji wa yanga? hamna. leo mmepona ilikuwa tuwapige viwili tu ... but imekuwa bahati mbaya kwetu. ila msijali yanga yetu sisi tunawajua si ndiyo? Bantu lady na Makoye mmepotelea wapi na sharo bao maana si balo tena. sisi tutawagonga tu ninyi mkileta jeuri tunasema msifanye hivi mkafanya tutawagonga tu, nami nasem mtagongwa.
***** simba wananyumbulika like no other kuna time zilipigwa pasi kma million ni kasema hii Barcelona sasa hii
Lilipigwa drafti la hatari, yanga walikuwa wanakimbiza vivuli.
Haukuwa peke yako! Hawa watoto ni hatari sana!
No! Simba wana makombe mawili so far ya kitaifa, ni kama vile walishachukua League na FA (TFF) Cup ya Tanzania (Kombe la Mtani Jembe = League Cup ...kama lile walilochukua Chealsea last week; na Kombe la Mapinduzi = FA Cup ambayo Arsenal & Man U wanaligombania kesho)
Makoye Matale na Bantu lady wote wapo hapa nimewapakata wanasikilizia tu mziki taratibu tafadhari usiwasumbue waache wastarehe.
Kuna wakati Cannavaro alipigwa chenga akamuuliza mwenzake eti Messi kapita wapi....chezea Mashine kubwa Messi. Hahahahaaaaaa
Simba wamependelewa na refa