Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Semaji wa yanga sijui hali yake ikoje, anaitwa mro aijui muro sore nimemsahau kabisaaaaaaaa
 
Jerry Muro yupo kwenye gari la YM anaandika rufaa
 
Hii ilikuwa simba fc vs simba veterani . Yan malapulapu ya simba ndo yamejaa yanga (yondani , barthez, ngasa, mrwanda na wengine kibao mtamalizia na waliokuwa bench ) .. hivi bench la ufundi la yanga lina akili kweli , machezaji hayana akili faul za kipuuz puuz na hayana pumzi ... "natania mtani "
Dah watu mmepinda humu,nimecheka karibu nipaliwe.Mtawaua kwa Pressure hawa Kandambili!
 
Nilitaka ku mention wana yanga wote niliowaona kupitia comments za tokea jana niwape pole ila naona nitaleta vurumai hapa, sisi ndio Simba wa mjini..!
 
Si uliomba ban wewe. Au kiherehere kimekushinda?

Mshxxxxxxiiiiieeewwww tafuta pesa wewe mtoto wa kiume, umbeya na ushakunaku haulipi.
Hii haikuhusu niliandika mapema, ni wana Yanga tu. Kiss my ***
 
Bantu lady best yangu nakusalimuuuuu!! Pole sana best.
 
Last edited by a moderator:
Wee Masuke nikupate??!!! Nimekupata wewe na refa wenu...

Ulikuwa umepotea sana mpaka nikawa na wasi wasi umekula ban nini? Refa kawabeba hata nyie, Nadir Haroub kuna faulo aliicheza kipindi cha kwanza lakini hakupata kadi yoyote.

Sisi alitubeba kwenye faulo aliyofanya Banda kipindi cha kwanza pia.
 
Last edited by a moderator:
Wee sema tu unataka chukua likizo ya maombolezi mapema, hamna kitu hapo, lazima madogo wawakung'ute tena kavu kavu!

Leo wameamini tuliyowaambia sisi tunaojua soka la uwanjani sio kununua mechi na makipa wa mbeya city.
Saa hizi wamezimia na kwenye chupi wameyajaza tele kuwapa kazi vijana wa msalaba mwekundu kunawisha ngama zao. Ptuuuuuuuu
 
Mmh poleni wana Yanga wenzangu.... sikuwa na matumaini kwa yanga kufunga katika hii match
 
Mshxxxxxxiiiiieeewwww tafuta pesa wewe mtoto wa kiume, umbeya na ushakunaku haulipi.
Hii haikuhusu niliandika mapema, ni wana Yanga tu. Kiss my ***

Mwanamke mtamu wewe sijapata kukuona, endelea kufungua miguu kwa bwana wako Simba hivyo hivyo. Wengine wabanie niikute tena nyiriiiti Desemba.
 
Leo tutalala kwa amani maana duduproof zote zimenyofolewa betri. Hiyo ndo simba bwana, hata iwe mbovu kiasi gani, yanga hawezi toboza.
 
Nilitaka ku mention wana yanga wote niliowaona kupitia comments za tokea jana niwape pole ila naona nitaleta vurumai hapa, sisi ndio Simba wa mjini..!

Sisi ndio wafalme wa soka la uwanjani, wanunuaji wa mechi wanaonekana. Badala ya kuniandaa na mchezo wameng'ang'ana na kanuni mpya za TFF. Matokeo yake wanamkaba Ibrahim Ajib wamemsahau kidume chao The Tomentor E. Okwi.
 
Back
Top Bottom