Wee Masuke nikupate??!!! Nimekupata wewe na refa wenu...
Si uliomba ban wewe. Au kiherehere kimekushinda?
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee Masuke nikupate??!!! Nimekupata wewe na refa wenu...
= umeniudhi
uzi = ni wa kushonea.
Dah watu mmepinda humu,nimecheka karibu nipaliwe.Mtawaua kwa Pressure hawa Kandambili!Hii ilikuwa simba fc vs simba veterani . Yan malapulapu ya simba ndo yamejaa yanga (yondani , barthez, ngasa, mrwanda na wengine kibao mtamalizia na waliokuwa bench ) .. hivi bench la ufundi la yanga lina akili kweli , machezaji hayana akili faul za kipuuz puuz na hayana pumzi ... "natania mtani "
Si uliomba ban wewe. Au kiherehere kimekushinda?
Tatizo lako wewe nikikusalimia shikamo una report abuse.!
Wee Masuke nikupate??!!! Nimekupata wewe na refa wenu...
Wee sema tu unataka chukua likizo ya maombolezi mapema, hamna kitu hapo, lazima madogo wawakung'ute tena kavu kavu!
Mshxxxxxxiiiiieeewwww tafuta pesa wewe mtoto wa kiume, umbeya na ushakunaku haulipi.
Hii haikuhusu niliandika mapema, ni wana Yanga tu. Kiss my ***
Nilitaka ku mention wana yanga wote niliowaona kupitia comments za tokea jana niwape pole ila naona nitaleta vurumai hapa, sisi ndio Simba wa mjini..!
Yanga the legend loyal wife of Simba. Hence prooved