Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

MunANIkera sana!


dawa yenu ni shinyanga shy land home place.
 
Haya sasa, kushinda mmeshinda lakini je..? Ubingwa Mtachukua?
 
Wamenipa raha simba wamenipa raha aeeeeeeeeeeeee burudaaaaaani yanga kapakatwaaaaaaaaa
 
Aisee kuna mzungu hapa kapiga jezi yake ya Yanga ana huzuni kweli sijui ni ndugu yake na kocha wa Yanga.
 
Kweli sikio la kufa halisikii dawa na siku ya kufa nyani mti yoteee huteleza........ Kikowapi kile Jerry Muro alichokuwa akikiongea kama msemaji wa Yanga??? ..... ni dhahiri kwamba alikuwa anabwabwaja na hajui anachokiongea kibaya zaidi hajui kwamba hajui ........ Yanga chaliiiiiiiiiiiiiii hongera sana MNYAMA

Bora huyo Jerry Muro. Kuna mtu anaitwa Mzee Ibrahimu Akilimali kama umesikiliza E FM hadi huruma
 
Mshxxxxxxiiiiieeewwww tafuta pesa wewe mtoto wa kiume, umbeya na ushakunaku haulipi.
Hii haikuhusu niliandika mapema, ni wana Yanga tu. Kiss my ***

Mkasirikie Okwi wewe kaha....wahedi. What shall I kiss that stinking ass peleka ukauze huko.Mdomo mrefu kimoja unaleta za kuleta.
 
TAHADHARI. Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, inapenda kuwa tahadharisha wananchi wote juu ya kuchafukwa kwa hali ya hewa kwa mashabiki wa yanga kulikosababishwa na wekundu wa msimbazi leo ktk uwanja wa taifa. Kwa hali hiyo basi, mamlaka inawatahadharisha wanasimba wate pamoja na wapenda amani wengine, kutowapigia simu mashabiki wa yanga kuepuka kunyeshewa na mvua ya matusi. Mamlaka inaongeza kwamba, hata kama ulikuwa na miadi na shabiki wa yanga, usiwasiliane naye hadi baada ya siku mbili au pale mtakavyotaarifiwa vinginevyo na mamlaka. Zingatia haya ili kuepuka usumbufu na madhara yanayoweza kujitokeza.
 
Yanga demu wa simba, kila akitia timu analiwa denda, na kupigwa kadhaa, leo kapigwa kimoja cha uhakika, mbendembende.
 
Yanga tumekuwa wateja kwa Simba tunaingia uwanjani huku tumeshafungwa kisaikolojia
 
Muro hajui siasa za mpira simba big up mnapikutana na yanga mnasahau tofauti
 
Ahsante best everlenk ndio mpira. Now nguvu tunazielekeza kulibeba kombe tu.
Unafikiri kuchukua kombe ni rahisi hivyo, jtano JKT Ruvu wanawapotezea dira kabisa maana mkijitahidi sana mtatoa nao sare. Ukizingatia injini zenu za ushindi hazitakuwepo (Niyonzima na Coutinho) na asipokuwepo Nadir Haroub na Msuva ndo mtapotea kabisa.
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1425837117413.jpg
    1425837117413.jpg
    44.5 KB · Views: 205
Mechi nyingine mwekeni Manji golini labda mtapata droo.
 
Mwaaa Mrs. Simba. Twende coco beach mama watoto.
 
Back
Top Bottom