Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli sikio la kufa halisikii dawa na siku ya kufa nyani mti yoteee huteleza........ Kikowapi kile Jerry Muro alichokuwa akikiongea kama msemaji wa Yanga??? ..... ni dhahiri kwamba alikuwa anabwabwaja na hajui anachokiongea kibaya zaidi hajui kwamba hajui ........ Yanga chaliiiiiiiiiiiiiii hongera sana MNYAMA
Mshxxxxxxiiiiieeewwww tafuta pesa wewe mtoto wa kiume, umbeya na ushakunaku haulipi.
Hii haikuhusu niliandika mapema, ni wana Yanga tu. Kiss my ***
Haukuwa peke yako! Hawa watoto ni hatari sana!
Unafikiri kuchukua kombe ni rahisi hivyo, jtano JKT Ruvu wanawapotezea dira kabisa maana mkijitahidi sana mtatoa nao sare. Ukizingatia injini zenu za ushindi hazitakuwepo (Niyonzima na Coutinho) na asipokuwepo Nadir Haroub na Msuva ndo mtapotea kabisa.Ahsante best everlenk ndio mpira. Now nguvu tunazielekeza kulibeba kombe tu.
Kimojaa tu na mapacha juu,,, hahahahaha Simba bhana