Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kazi wanayo
Mkasirikie Okwi wewe kaha....wahedi. What shall I kiss that stinking ass peleka ukauze huko.Mdomo mrefu kimoja unaleta za kuleta.
Haya sasa, kushinda mmeshinda lakini je..? Ubingwa Mtachukua?
Unafikiri kuchukua kombe ni rahisi hivyo, jtano JKT Ruvu wanawapotezea dira kabisa maana mkijitahidi sana mtatoa nao sare. Ukizingatia injini zenu za ushindi hazitakuwepo (Niyonzima na Coutinho) na asipokuwepo Nadir Haroub na Msuva ndo mtapotea kabisa.
Huwa tunauza wote mngese wewe. koma kuniquote malaya wa kiume wewe. Kazi umbeya tu nipitie mbali, sikujibu na nakutupa kwa dustbin ngedere pori mshxxxxiiieeeww
Huwa tunauza wote mngese wewe. koma kuniquote malaya wa kiume wewe. Kazi umbeya tu nipitie mbali, sikujibu na nakutupa kwa dustbin ngedere pori mshxxxxiiieeeww
Ulikuwa umepotea sana mpaka nikawa na wasi wasi umekula ban nini? Refa kawabeba hata nyie, Nadir Haroub kuna faulo aliicheza kipindi cha kwanza lakini hakupata kadi yoyote.
Sisi alitubeba kwenye faulo aliyofanya Banda kipindi cha kwanza pia.
BREAKING NEWS! Kocha wa Yanga kutimuliwa kesho
Halafu kuna watu humu kuanzia muda huu, ukiona umeniquote sijakujibu ujue uko kwa dustbin tu.
Kama mtu huwezi kujiheshimu na kutaniana kimpira, please usiniquote wala kunitaja. Sitaki shobo na mtu, kuna wastaarabu ambao tunataniana kistaarabu. Hao tutaendelea kama kawa, ile nyie vichwa vya panzi mnikome.
Kama matusi hapa nina kamusi, sitaki na zaidi niko kwa kwaresma.
Sasa wale wasiojiamini kwenye visuruali vyao kuna nini mtaquote hadi hii.
Aliyeguswa kufwaaaa for me.
Sawa ila hatujaanza leo kuwapakua na Azam pia ubingwa anaweza kupata na kwa ss vdume ukiwa na demu ukimtia kichwa tu basi hana ujanja
Simba wamependelewa na refa
Aisee kuna mzungu hapa kapiga jezi yake ya Yanga ana huzuni kweli sijui ni ndugu yake na kocha wa Yanga.
tokea nianze kujua mpirab tz cjawah ona team imemiliki mpira ndani ya dk 3. bila kubutua, kupoteza wala kuharibu hahahahaha aseeee Simba RAHA jamani
Kuna tija ya kuwapa moyo na kuwaweka katika hali ya kisaikologia Mashabiki MBUMBUMBU wa simba...! hatutaki kuona watu wakianza kuzimia uwanjani...!
Maana mashabiki mbumbumbu hawachelewi kuzumia wanapokutana na YANGA FC.