Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Ligi Kuu Bara: Simba vs Yanga, 08 Machi 2015

Inauma Sana kuona kila tunapocheza na simba,tunafungwa Magoli ya kijinga!
Goli la leo kipa haileweki alikuwa anaenda wapi!?

Nyie yanga mnacheza mpira kwenye magazeti ya Bingwa, Champion na Mwana sport. Mtawaweka watu bench hadi golini mtamweka Akilimali na sub yaka atakuwa Manji/Jerry Muro
 
Yanga wangeshinda Muro angechonga sana! jamaa alikuwa anaongelea Simba kwa dharau hadi kero! hongera Simba
 
Kama mnacheza vizuri mbona mlikuwa mnalalamika kwamba Aveva na wenzake ndio wanahujumu timu.

Kama mnacheza vizuri mbona SARE SARE zilikuwa nyingi.!!!

Tuna timu nzuri kuliko yoyote hapa Tz, na timu bado changa, sio kama Simba veteran (Tambwe, Mrwanda, Yondani, Barthez), ni kwamba uongozi tuu mbovu!
NOTE: Uliona zile dk 3 za mwisho? Mlikuwa mnautafuta kwa tochi mpaka betri zikawaishia!
 
Mnakaririshwa vibaya, next time lazima tuwabutue vibaya hadi mharibikiwe.

Na hao wachezaji wenu wa Simba veterans au wengine?Vijana wanazidi kukomaa vipigo mpaka mtamchoka Kanjibhai. Kwa umri wa wachezaji wa Simba mtapelekeshwa sana.
 
mashabiki wa yanga leo wamewahi kulala sana jangwani kimyaaaaaa.

Hao yanga wana vifafa saa hii wote wamezimia ukipita karibu na kilabu maana ile sio klabu, ni harufu ya ushuzi tuuu wa watu waliozimia kwa vifafa.
 
Na wenye timu nzuri wasemeje... Kwamba wanaongoza ligi kwa bahati mbaya!????

Haujakosea ulivyo edit comment yangu, ila unapo-quote comment yangu uwe unaiacha kama nilivyoiweka mimi!
Wanaoongoza ligi hawana timu bali pesa ya kuhonga!
 
Tuna timu nzuri kuliko yoyote hapa Tz, na timu bado changa, sio kama Simba veteran (Tambwe, Mrwanda, Yondani, Barthez), ni kwamba uongozi tuu mbovu!
NOTE: Uliona zile dk 3 za mwisho? Mlikuwa mnautafuta kwa tochi mpaka betri zikawaishia!

Daah ile aibuuuu...ule muziki wa Simba CD bilioni utadhani walikuwa mazoezini wallah. Lazima niitafute CD ya leo kwa ukumbusho wa vizazi vijavyo samba la Mnyama unyamani
 
10945405_601859469958434_2816554584667789649_n.jpg
 
Ila lile taulo nafikiri lina kitu, bila ya lile taulo Yanga wangeweza shinda! Hii mnaionaje wana Yanga?? Nimewatafutia sababu ya kujitetea!

Nafikiri wakichanganya na zile kadi 3 za Ajib wanaweza kurudi TFF kukata rufaa, safari hii lazima washinde.
Yeboyebo mnaonaje wazo hilo.
 
Daah ile aibuuuu...ule muziki wa Simba CD bilioni utadhani walikuwa mazoezini wallah. Lazima niitafute CD ya leo kwa ukumbusho wa vizazi vijavyo samba la Mnyama unyamani

Mkuu ukiipata nishtue.
 
Back
Top Bottom