Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka tukujue wewe ni nani ili iweje? wewe si mbumbumbu mmojawapo kati ya wengi wa Manji tu. Kama unataka tufahamiane usihofu njoo uwanja wa Taifa nitakuelekeza kiti ambacho huwa nakaa. Unajificha mbele ya keyboard hapo kutishia watu shauri yako.Ungelikuwa unajua unaongea na nani basi usingeleta hizo takwimu zako.!
Teh teh teh..!
.
Unataka tukujue wewe ni nani ili iweje? wewe si mbumbumbu mmojawapo kati ya wengi wa Manji tu. Kama unataka tufahamiane usihofu njoo uwanja wa Taifa nitakuelekeza kiti ambacho huwa nakaa. Unajificha mbele ya keyboard hapo kutishia watu shauri yako.
Lile bao lake hakunaga, nakumbuka niliwahi mpiga demu wangu baada ya ugwadu wa miezi 5 ya kufungiwa shule Tosa Boys S.S. Huyo demu hajanisahau mpaka leo tunawasiliana ijapokuwa sasa ameolewa.Okwi Okwi Okwi Okwi Okwi Okwi Okwi Okwi Okwi Okwi Okwi Okwi
Migongo wazi kimyaaaaa
Mvua ikinyesha tuwatoboe hata kwenye kajua kakali hivi pia tuwafarue jaaaamaaaaniiii....😱😕
Naona sasa umeshalegea kwa bao la Okwi A.K.A KABAKA MUTESA wa karne ya 21, unataka tusahau tulivyokufanya jana kwa kutuletea mambo ya Taifa Stars maboreshoHahahaha unachekesha kweli... Na wewe pia umekuwa mchambuzi wa soka...!
Naamini tungelikuwa na watu watatu tu kama wewe basi Taifa Stars ingelikuwa inashiliki Kombe la dunia.
Tatizo wabongo mmegeuka wataalamu wa soka.. Kumbe hamna lolote.!
Nenda basi mwenzetu ukagombee nafasi ya kutoa ushauri Taifa Stars.. Labda utawasaidia.
Dah wabongo nomaaa!!!!!!
Unataka tukujue wewe ni nani ili iweje? wewe si mbumbumbu mmojawapo kati ya wengi wa Manji tu. Kama unataka tufahamiane usihofu njoo uwanja wa Taifa nitakuelekeza kiti ambacho huwa nakaa. Unajificha mbele ya keyboard hapo kutishia watu shauri yako.
Unakimbia bao la Okwiiiiiiiiiiiiiii....hatutaki mambo ya Man U hapa. Hapa ni kitombo cha Okwi kwa kwenda mbele....Inaonekana unamajonzi na timu zako zote...!
Simba haina dalili za kuchukua ubingwa wala Man United hawana hata matarajio ya kuota ndoto za ubingwa....
Umejaa shidaaaa.!!!!
Hebu tulushiemo ka picha kako huenda umekondeana kama mgonjwa wa Ukimwi.!!
Naona sasa umeshalegea kwa bao la Okwi A.K.A KABAKA MUTESA wa karne ya 21, unataka tusahau tulivyokufanya jana kwa kutuletea mambo ya Taifa Stars maboresho
Yanga baiskeli ya miti tu, juzi mlijisifu eti hamshikiki na timu yoyote kwa pengo la point 4 leo hii Azam anawapumulia kisogoni, wakati Baba lao Simba lililojaa mifwedha ya Mtani Jembe, Mapinduzio kapu linakuja kuchukua kombe lake. Makombe yote TZ ni mali ya Simba mwaka 2014/2015 kuanzia Mtani Jembe, Mapinduzi Cup mpaka Ligi Kuu na kuendelea.Mmebaki kushangilia point tatu mithili YA UBINGWA..!!!
Hahaha amna jipya nyinyi...!
Points 3 kwetu si lolote.... UBINGWA ndio mpango mzima.
ebu check msimamo wa ligi kuu tanzania bara...!
Kabla hujaamua kuchagua wa kumpa pole kati ya mgonjwa wa ukimwi na cancer....!
.
Unakimbia bao la Okwiiiiiiiiiiiiiii....hatutaki mambo ya Man U hapa. Hapa ni kitombo cha Okwi kwa kwenda mbele....
Ni lazima usisahau...!
Huo si ndio ubigwa wenu..
Ngoja sasa usome namba pale tunapobeba ile wanaita THE GRAND CHAMPIONSHIP.
Inaonekana unamajonzi na timu zako zote...!
Simba haina dalili za kuchukua ubingwa wala Man United hawana hata matarajio ya kuota ndoto za ubingwa....
Umejaa shidaaaa.!!!!
Hebu tulushiemo ka picha kako huenda umekondeana kama mgonjwa wa Ukimwi.!!
Hivi unakumbuka mara ya mwisho kushangilia ushindi dhidi ya mnyama?
Hivi unajua mwanaume anapomkojolea mwanamke bao la nguvu kama lile la Okwi anahisi kama yupo Mbingu ya 7, nadhani itakuwa ndiyo hiyo sayari ya Mars.Du watu mnachonga kama ndo mmeingia sayari ya mars,
hongera watani.
Hivi unajua mwanaume anapomkojolea mwanamke bao la nguvu kama lile la Okwi anahisi kama yupo Mbingu ya 7, nadhani itakuwa ndiyo hiyo sayari ya Mars.
Mi maneno sijui anajua jerry Muro, nachojua ni kulenga tobo na kuingiza bao kama okwi. Ugua pole, okwinism ni homa ambayo utaipata mara mbil au tatu kwa mwaka. Vumilia tu haina tiba wala kinga. JIKAZEEE