na hata leo wamekodishiwa kichapoWafungwe tu maana hakuna namna we ushasikia timu inakodishwa.
we mbumbumbu acheni kubebwaNi kweli haujakosea
Ila isijekuwa 1/4
naona leo mmekodishiwa kichapo kwa mbeya city fcwe mbumbumbu acheni kubebwa
Huu mchezo wala hauitaji hasiraMimi huwa sielewi ati, timu yenu nayo inacheza. Mmeikalia kooni Yanga mnaipenda kimoyomoyo eeh. Tumeshinda mfululizo, wachezaji wetu wamechoka, hali ya hewa. Si mbaya hawajatoka kapa, sasa tunauliza leo Mbeya City wametununua ama?
Habari njema hiiWamelala tayari mkuu 2-1
Mimi huwa sielewi ati, timu yenu nayo inacheza. Mmeikalia kooni Yanga mnaipenda kimoyomoyo eeh. Tumeshinda mfululizo, wachezaji wetu wamechoka, hali ya hewa. Si mbaya hawajatoka kapa, sasa tunauliza leo Mbeya City wametununua ama?
Nashindwa kuitofautisha Simba hii na Barcelona.....
jamani my bantu lady za siku mingi
Wewe umenenaNashindwa kuitofautisha Simba hii na Barcelona.....
Uko sahihi kama ukitumia ule msemo wa wengi wape,, Maana asilimia kubwa ya wadau wa mpira nchini akiwemo mnazi Simba Shaffih Dauda hawakufurahishwa na Kuondoka kwa Hans,, Mi ni kati ya wale wacheche wanaoamini kuwa Hans hana jipya zaidi ya aliyoyafanyaMMEANZA WAKATI MLISUKUMA GARI ALIPORUDI
Nzuri, mambo vipi.jamani my bantu lady za siku mingi