Ligi kuu bara: Simba yaipitia Stand bila kusimama, Yanga yasalimu amri

Dah.. Nimejaribu kuangalia highlight ila kuna kitu naona kimemisi.
Kwa hii hali niliyona sidhani kama tena nitadiriki kua eneo korofi, Mnyama akiwa dimbani

Jitahidi sana mkuu....ushuhudie mauaji ya mnyama awapo mawindoni.....
 
Gemu ya Leo Simba SC imegongomelea Msumari Pale Jangwani Manake Sidhani Kama Yupo Mshabiki Wa Chaneta FC atakayethubutu Tena Kujitokea Mbele ya Wanamsimbazi na Kusema Yeboyebo atachukua Ubingwa Msimu huu!!
😀😀😀😀😀
 
Breeeeeeeaking! Nimepata tetesi Kuwa Benchi Zima La Ufundi La Yeboyebo Na Afisa Habari Wao Wamewajibishwa Kinidhamu na Manji kwa Kushindwa Kujibu Tuhuma Zilizowakabili Za Kuwa Kwanini Wamechelewesha Kumkabidhi Manji Namba Za Tigo-Pesa na M-Pesa za Kipa na Mabeki Wa Mbeya City....
Wait! more to come.....
 
Shukrani.. Ila hali ya hewa katika viwanja hivi viwili ilikua hivi..

Huko Shinyanga.. [emoji116] [emoji116]

View attachment 428357

Mbeya nako mambo yalikua hivi..
[emoji116] [emoji116]

View attachment 428359

Kwahali hii Nategemea Kuanzia Januari Yeboyebo Wataukimbia Uzi wowote Unaowahusu Simba..

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji2] [emoji2] .. Simba S.C raha sana.
Kwahali hii Nategemea Kuanzia Januari Yeboyebo Wataukimbia Uzi wowote Unaowabusu Simba..
 
Matokeo ya leo yamekuwa bomba sana, maana wangeshinda wangedai wanasogea
 
Maskini azam kaachwa point 15, duh!
Vyura mkibigwa mnakimbilia kwa Azam kwani nyi mmeachwa pointi ngapi? Na leo wauza mchele wamewa man Fongo huku si tukichana misambwanda ya wadogo zenu Toto African
 
Hapa lazima watishie kukupeleka mahakamani...
 
Vyura mkibigwa mnakimbilia kwa Azam kwani nyi mmeachwa pointi ngapi? Na leo wauza mchele wamewa man Fongo huku si tukichana misambwanda ya wadogo zenu Toto African
Nenda kasome comments zangu na uzi zangu za toka mwaka majuzi kisha rudi hapa.
Dogo naona hujitambui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…