Ligi kuu bara: Simba yaipitia Stand bila kusimama, Yanga yasalimu amri

Sasa mbona niko stendi huku sijamwona huyo simba[emoji86] [emoji86]
 
Sasa mbona niko stendi huku sijamwona huyo simba[emoji86] [emoji86]
 
Mimi ni Yanga ila mwaka huu timu yetu ni kimeo hakuna kombe tutapata labda tujipange next year.
Wakuu zangu Guasa Amboni tAi-kibombo Belo Makoye Matale Nifah 1954 mwambageu Sibonike libeva @Mawembasa1976 brigedia mafia IL Capitano Gide MK logframe Turnkey NIYOMBARE Mtoto wa nzi na nasmapesa mwenzenu tayari kashakiri mapeema..
1. Je.. bado mna wasiwasi na ubora wa huyu mnyama mkali pengine kuliko wote mwituni??
2. Je.. bado hamuamini kua anaenda kutangazwa bingwa wa VPL mapema kabisa mwezi March japo ligi inaisha mwezi April??
 
Simba luala huyo au simba mboje atawatisha wengine lakini sio hawa ulio list hapo juu hawa wanaujua mpira na mashabiki wa ukweli hiyo baiskeli yenu ya tope masika ikifika mtakuwa porini hakuna hata sehemu ya kujibanza (kujificha )mtaloana na ndio mwisho hapo utajipa u busy utakaojipa udhru si udhru ila utapotea sana humu mambo yakianzakwenda halijojo.
 

Hahaha.. Mimi hua najiuliza sana, yaani tutaanzaje kupoteana? Kama;
1. Mikoani Tunashinda
2. Tukikutana na Heavyweight wenzetu Tunashinda
3. Tukikutana na Lightweight au Matawi yenu Tunashinda in style.

Na hata kama ikitokea [japo hili haliwezakani kabisa].. Je lile litimu libovu lililotuaibisha katika uga wa kimataifa, lililojaa mibabu litakua katika hali gani??
 
Mimi ni Yanga ila mwaka huu timu yetu ni kimeo hakuna kombe tutapata labda tujipange next year.
Msimu uliopita mlipoteza mechi ngapi na mlikusanya point ngapi jumla mkapata ubingwa?? Yawezekana kabisa tatizo ni simba kupandisha standards na sio yanga kuwa kimeo.
 
Msimu uliopita mlipoteza mechi ngapi na mlikusanya point ngapi jumla mkapata ubingwa?? Yawezekana kabisa tatizo ni simba kupandisha standards!

Tulipoteza mechi moja tu,ila pia consistence ya ushindi Simba itapandisha points za ubingwa mwaka huu
 
Uzuri wa wino tofauti na kuchora mchangani japo unasema hilo la kupigwa halipo ila wino upo uzuri mwingine una kipaji cha kujificha pindi mambo yakienda mrama hicho wala sikubishii unaweza sana kujichimbia kuhusu yanga iache hivyo hivyo kizuri chajiuza hizi kelele za mlango tu.
 

Kumbe ΒΌ Mupo Wengi Kweli!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…