Ligi kuu bara: Simba yaipitia Stand bila kusimama, Yanga yasalimu amri

Ligi kuu bara: Simba yaipitia Stand bila kusimama, Yanga yasalimu amri

Dk 42, mwamuzi anasema lile ni bao lililofungwa na Kenny Ally dak ya 36, hivyo Mbeya City wanaongoza kwa mabao 2-0

Dk 41 sasa, bado mpira umesimama na wachezaji Mbeya City wamekwenda kuwapumzisha mashabiki wao
 
Kama Mbeya city wangembwela lingekuwa sio goli kwa sasa.... Safi sana Mbeya City....
 
DAKIKA 4 ZA NYONGEZA
Dk 44, hakuna matumaini kama Yanga wanaweza kusawazisha dhidi ya Mbeya City kwa kuwa hakuna shambulizi kali
 
Nasikia Ndala FC wazee wa kukodishwa kimenuka cha 3?
 
Back
Top Bottom