Ligi kuu bara: Simba yaipitia Stand bila kusimama, Yanga yasalimu amri

Mbona ndala siwaoni tena wametuzilia uzi au?
 
Duh,Yanga na wafanye kama Arsenal jana.
Hakuna namna...
Kufungwa na Mbeya City sijui tutaweka wapi nyuso zetu [emoji17]
Ndo hivo tena, japo jana umefurahi hahaha
 
Chaneta FC huwa wana Nyimbo Yao hii → ""Simba Baiskeli Ya Miti!! Nyie Ongozeni Lakini Mwisho Wa Msimu Yanga Wenye Ligi Timu Ya Wananchi Ndiyo Bingwa..""
Ikiwa Kuna Mshabiki Wa Chaneta FC anaamini Kuwa Timu Yao itachukua Ubingwa! Basi huyo ni kati ya wale ¼...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…