Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbebwaji mjinga sana alikuwa na kiwembe akatoboa mbeleko na kaanguka chini. Ona sasa amepata majeraha mawili!!!Moira umekwishaaaaaa Yanga yalala kwa 2,Haaaaaa mbeleko imekatikaaaaaaaa
HUENDA NJO VILE NAFUKUZWAGAWazungu wana mambo ya kishenzi sana, sasa hapo ndo anafanyaje kwa huyo mchezaji?
Huwezi ukasema gap la point nane wakati Shinyanga mpira haujaisha. Sometimes tuwe professionalPoint 8 ni gap la heshima
kwa staili hii yanga mtasubiri sana kombe
![]()
Eti ukiona simba inaongoza ligi jua yanga wako nje ya nchi[emoji23] [emoji23] [emoji14] [emoji14] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85]Chaneta FC huwa wana Nyimbo Yao hii → ""Simba Baiskeli Ya Miti!! Nyie Ongozeni Lakini Mwisho Wa Msimu Yanga Wenye Ligi Timu Ya Wananchi Ndiyo Bingwa..""
Ikiwa Kuna Mshabiki Wa Chaneta FC anaamini Kuwa Timu Yao itachukua Ubingwa! Basi huyo ni kati ya wale ¼...
HUENDA NJO VILE NAFUKUZWAGA
KWELIHuwezi ukasema gap la point nane wakati Shinyanga mpira haujaisha. Sometimes tuwe professional
Mcity 2 yanga 1Jaman yanga na mbeya city ngap ngap ...
Jaman yanga na mbeya city ngap ngap ...
FT mbeya city 2 yanga 1Jaman yanga na mbeya city ngap ngap ...
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] hapo ndo napendaga Kiswahili eti nafasi mujarabDk 81, Mavugo anapokeza nafasi mujarab ya kufunga kwa kuwa kipa wa Stand alikuwa ametoka langoni, likiwa wazi MAvugo amepiga nje
SUB 80, Moussa Ndusha ambaye ITC yake imekuja, anaingia kuchukua nafasi ya Kazimoto
MMEANZA WAKATI MLISUKUMA GARI ALIPORUDIHans uwezo ameshafika kikomo cha uwezo wake...Leta huyo mzambia ligi ichangamke