Ligi Kuu Bara: Yanayojiri viwanjani leo 9 Mei 2015

Ligi Kuu Bara: Yanayojiri viwanjani leo 9 Mei 2015

Mkuu tuna mil 600 za azam tv tumezisusa.....hao kuchere watatupa sh. Ngapi za kututosha..sema tumetoa zawadi kwa wanantwara kwakuwa ndo mkoa unaoongoza kwa kuwa na washabiki wengi wa yanga...98% ya wanamtwara ni mashabiki wa wakimataifa fc
Tunajua mlivyopata hilo kombe na sasa mnarudisha chenji...
 
Yanga wanachofanya kwa sasa ni kuuza mechi tu zilizokuwa zimebaki. hata hivyo tusiwalaumu walitumia pesa nyinge sana kununua mechi that time. so now ngoja nao wali relaxe. team inatumia eti zaidi ya Mil 900 ili kushinda million 80( nipo tayari kurekebishwa) za bingwa wa ligi hii ya Vpl
 
Tutammisi Masao Bwire.

Yeye pia ni msemaji wa JKT Ruvu hivyo kushuka kwa Ruvu Shooting hakutatufanya tummiss Massao Bwire. Mabao 5 aliyofungwa na Yanga hivi karibuni yamekuwa chachu kwa Ruvu Shooting kushuka daraja.

Buriani Ruvu Shooting na Polisi Morogoro.
 
wacha umbumbumbu wako,yanga imechukua ubingwa mara25 kwa maana hiyo miaka yote manji alikuwa ananunua mechi?au ww ndio kati wale wanaotengeneza timu kwa miaka4?

kabla ya Manji munuaji alikuwa Gullamali, na kabla ya Gullamali (RIP) akikuwepo mwingine
 
Yeye pia ni msemaji wa JKT Ruvu hivyo kushuka kwa Ruvu Shooting hakutatufanya tummiss Massao Bwire. Mabao 5 aliyofungwa na Yanga hivi karibuni yamekuwa chachu kwa Ruvu Shooting kushuka daraja.

Buriani Ruvu Shooting na Polisi Morogoro.

Kibinafsi kama JKT RUVU ipo wangeiboresha maradufu kuliko Kikosi kimoja kuwa na team mbili, ni kazi sana kiuendeshaji.
 
Tukishinda tumenunua..tukifungwa tumeuza,sijui tufanyeje
 
Yeye pia ni msemaji wa JKT Ruvu hivyo kushuka kwa Ruvu Shooting hakutatufanya tummiss Massao Bwire. Mabao 5 aliyofungwa na Yanga hivi karibuni yamekuwa chachu kwa Ruvu Shooting kushuka daraja.

Buriani Ruvu Shooting na Polisi Morogoro.
Msemaji wa JKT Ruvu ni mwanajeshi mmoja anaitwa Masanja.
 
Yanga wanachofanya kwa sasa ni kuuza mechi tu zilizokuwa zimebaki. hata hivyo tusiwalaumu walitumia pesa nyinge sana kununua mechi that time. so now ngoja nao wali relaxe. team inatumia eti zaidi ya Mil 900 ili kushinda million 80( nipo tayari kurekebishwa) za bingwa wa ligi hiiBayernwaBamhitatuBayernwamepmmfulwtatummfululizo
 
Back
Top Bottom