Ligi Kuu Bara: Yanga FC 0 Vs 1 Ruvu Shooting

[emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Ahsanteni ruvu shooting leo .nitalala muruaa kabisaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
makambo alipoondoka nilimind sana

sababu kuziba pengo lake ni vigumu mnoo.
utapata wapi striker aliyekamilika kama makambo?
jamaa kiukweli alitusaidia sanaa.
 
makambo alipoondoka nilimind sana

sababu kuziba pengo lake ni vigumu mnoo.
utapata wapi striker aliyekamilika kama makambo?
jamaa kiukweli alitusaidia sanaa.
Mbona juzi hukulalamika kuhusu makambo kuhusu Pengo lake mlipokua ugenini na township??

Kwenye mambo magumu ndio unamkubuka makambo

BTW kauli ya adui yako muombee njaa leo hii imetifit vizuri nabado hahahhahahaaa
 
Mimi Mnyama mzee sema nimewatahadharisha wanyama wenzangu tukaushe wakija wale mbute wataanza kufukua makaburi hatutakaa humu kwa amani [emoji54]
Hakuna hiyoo mzee, mimi sifati itifaki

unaweza ukacheza fair play kwa kumuepusha simba kwa hatari ya moto lakini siku ukapita kwenye msitu akawa ndiye wakwanza kukushambulia

bila kujali kua msaada uliompa ndio umemfanya aendelee kua hai mpaka leo

Juzi tumetoa sare, ulicheki michambo?? Sasa just imagine tungefungwa ingekuwaje??

Nilishawahi kusema mimi, ule ushindi wa yanga walioupata kwa township rollers hawajaufurahia sana kama kutolewa kwa simba walivyo shangilia kwa furaha sana

Hata shetani akicheza na yanga nitashangilia timu pinzani sio yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…