Ligi Kuu Bara: Yanga FC 0 Vs 1 Ruvu Shooting

Ligi Kuu Bara: Yanga FC 0 Vs 1 Ruvu Shooting

Hakuna hiyoo mzee, mimi sifati itifaki

unaweza ukacheza fair play kwa kumuepusha simba kwa hatari ya moto lakini siku ukapita kwenye msitu akawa ndiye wakwanza kukushambulia

bila kujali kua msaada uliompa ndio umemfanya aendelee kua hai mpaka leo

Juzi tumetoa sare, ulicheki michambo?? Sasa just imagine tungefungwa ingekuwaje??

Nilishawahi kusema mimi, ule ushindi wa yanga walioupata kwa township rollers hawajaufurahia sana kama kutolewa kwa simba walivyo shangilia kwa furaha sana

Hata shetani akicheza na yanga nitashangilia timu pinzani sio yanga
Fact
 
"Ruvu Shooting ni zaidi ya Rollers, Ruvu Shooting ni zaidi ya hao wanaokuja! Zesco......Ruvu Shooting mwaka huu bingwa, ninawaambia"- Kauli yake Masau Bwire (msemaji wa Ruvu Shooting)
 
Tumshukuru tu mwamuzi wa pembeni Janeth Balama kwa kulikataa goli la pili ambalo ukiangalia marudio, mfungaji hakuwa kwenye nafasi ya kuotea.

Ukweli mchungu, timu yetu ina washambuliaji butu! Hawana macho ya kufunga kabisa. Halafu mwalimu ndiyo anawaamini usipime! Sijui itachukua muda gani hadi wafikie kiwango cha Herittier Makambo!
#Tate wewe ni moja ya shabiki bora wa yanga, comment yako inazihirisha hilo...
 
Tumshukuru tu mwamuzi wa pembeni Janeth Balama kwa kulikataa goli la pili ambalo ukiangalia marudio, mfungaji hakuwa kwenye nafasi ya kuotea.

Ukweli mchungu, timu yetu ina washambuliaji butu! Hawana macho ya kufunga kabisa. Halafu mwalimu ndiyo anawaamini usipime! Sijui itachukua muda gani hadi wafikie kiwango cha Herittier Makambo!
Fikiria mmepata nafasi za Kona 13 hamjafunga hate moja
 
mwinyi zaera siyo kocha wa football, nadhani anafaa zaidi kwa saikolojia rather than coachiing, yaani team haina formation kabisaa.......kipindi cha mzee pluijim team ilikuwa na mpira wa kueleweka na hata team work ilikuwa inaonekana uwanjani, kwa sasa ni majanga matupu na watu viongozi wanaangalia nani amfunge paka kengele......
 
FB_IMG_15670199294975029.jpeg
 
Back
Top Bottom