Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana uchovu wa safari... kwani hukusikia Lawama za kocha jana.Zahera kayataka kwa nn Mo Banka aanzie benchi???
Tumebaki wapenzi watazamaji tu, japo tunaowatazama nao hawaonekani.maisha yako kasi sana, sasa hivi simba hamuizungumzii tena klabu bingwa africa, mnakomaa na JKT, NAMUNGO . hahaha vipi mpango wa kufika nusu fainali ya klabu bingwa africa ndio umeshakufa
HahahaMtani huyu ndio nimemzowea sasa sio yule mwenye kauli za jumapili iliyopita. 😀😀😀
Rudia matapishi yako gapaHao hata wabebe virungu hawawezi kupambana na wananchi
Simba wenyewe wanakubaliana na hilo?
Tayari mmeanza mambo yenu. MshatanuliwaMpira ni dk 90! Kama mbumbumbu fc waliweza kusawazisha goli dk ya 86 baada ya kuhenyeshwa mwanzo mwisho na ud songo, itashindwaje timu ya wananchi kusawazisha hako kagoli na kuongeza nyingine kipindi cha pili?
Ngoja aingie Anko muone.