Ligi Kuu Bara: Yanga vs Simba - Uwanja wa Taifa (1-1)

Mbona kuna mabomu! au sababu Mbowe yupo ndani uwanjani!
 
Simba hawaamini waliingia na mentality ya ushindi kibao kimewageukia wanashindwa kuamini
 
Naanza kuchinja kichwa nitachuna ngoz baadae
Yanga fc 1-0 simba sc
Mashabik wa simba wanang'oa vit nw
 
Taaaaambweeeee. Magoliiiiiiii,na kadi mmekulaaaaaa.mliuza Ak 47,mkanunua fimboooo
 
dah,
khatari sana!

mmnyama anaelekea kibra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…