conc acid
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 728
- 439
Hihiiiiiii kuna watu watakula ban leo.
Matusi ya nini?Nimeogopa kukuquote nisijekula ban nikashindwa kushangilia mieee [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hata mm sitaki kumkwaza mod leo [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hihiiiiiii kuna watu watakula ban leo.
Matusi ya nini?Nimeogopa kukuquote nisijekula ban nikashindwa kushangilia mieee [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Pole ....pole mtafikaHuyu refa ni hovyo..sijaelewa ile kadi nyekundu kwa MKUDE ni kosa gani?
Ulishawahi ona wapi deby team inabebwa kiasi cha refa kuona mchezaji anabeba mpira kwa mkono na goal linabarikiwa na refaHizo derby za nje nitajie ni mchezaji gani aliyemsukuma refa halafu akaachwa uwanjani.
Acheni kulalamika bila sababu. Uwezo wenu mwisho kwa Majimaji tuu.
Ball to hand huwa ni huruma tu ya refarii, tena wakati wa kuokoa hatari na si wakati wa kushambulia kama hiiHiyo ni ball to hand
Labda kama huwa wanachezea kwako barca na MadridMpira wa bongo unaharibiwa na waamuzi.....tujifunze deby za nje mara chache sana utakuta kadi inatoka kwenye deby ya barca na madrid
Kwani Mkude ni yanga??Kesho tutasikia kwa vile ni Yanga Mkude kaamua kuuza mechi
Jamani hakuna haja ya kufukua makaburi wakati mpira haujaisha .Bado kiapo kinaendelea??
Tunazungumzia red card. Niambie ni Derby gani Captain wa team anamsukuma refa na hakupewa kadi nyekundu?Ulishawahi ona wapi deby team inabebwa kiasi cha refa kuona mchezaji anabeba mpira kwa mkono na goal linabarikiwa na refa
Na nyie uwezo wenu mwsho kwa stand united kuwapakataHizo derby za nje nitajie ni mchezaji gani aliyemsukuma refa halafu akaachwa uwanjani.
Acheni kulalamika bila sababu. Uwezo wenu mwisho kwa Majimaji tuu.
Nimekupenda bureeeYanga game za kimataifa zimewajenga sana wanakaba vizuri, hawajui kupanic Total football asee
Mwisho wetu hapa tunanyanyua mpira na tunamtia BombadierNa nyie uwezo wenu mwsho kwa stand united kuwapakata
Mkachambie upupu lbd ila cio kwa kuota mchana [emoji23] [emoji23] [emoji23]Leo simba tunawapiga 5 bila teh teh teh Simba kimeo