Ligi Kuu Bara: Yanga vs Simba - Uwanja wa Taifa (1-1)

Nimejua kwanini yanga ilikuwa nyanya kombe ka shirikisho , kumbe bila kubargain hawawezi chochote .
 
Hii ndio simba ya kimataifa sasa!

sio hawa kandambili huwa wanaidhalilisha nchi!
 
Wakuda wamefanya figisu balaa,et mkude nyekundu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
 
Hureeeeeeeeeeeee!!!!! Wapi Katavi????? Utabiri wako ni Kweli..........Ila tuache utani simba ni kidume kwa siku ya Leo .......... Yanga mjilaumu wenyeweeeeeee....... kiroho safi na viti tutalipaaaaaaaaaa japo haikuwa ustaarabu.....[emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…