The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,397
- 1,786
Alifanya kosa gani huyu hadi akafungiwa maana inabidi asichezeshe mpira wa ligi yoyote hapa TzMalinzi lazima ango'ke ili mpira wa tanzania uendelee...haiwezekan refaa ambaye katoka kufungiwa kwa kuchezesha mpira vibayaa afu leo anapewa deby kuchezesha....ila tunataka tuwambie nyinyi mnaobebwa na tff yakuwa simba au mnyama hakuna wa kumzuia kubeba kombe
Nimejiuliza sana weledi wa askari wetu kwenye jambo kama hili, kuna mama alikuwa na mtoto mdogo sana hata mwaka mmoja hajafika, ukweli alikuwa na hali mbaya sana, sasa mtoto yule angeweza kufa bila sababu,Pole mkuu. Pale askari nao walifanya kosa kuanza kurusha mabomu wakati wangeweza kutuliza zile vurugu bila kufanya vile. Kule jukwaani kulikuwa Na watoto Na walemavu ambao hata hawakufanya fujo ila huenda waliathirika Na hayo mabomu. Kungeweza kutokea vifo kwa watu kukanyagana
hili ni zaidi ya lile la nape nnauye
huku kwetu mara baada ya simba kusawazisha mashabiki waliimba ccm ccm ccmc ccm ccm sasa ndio naelewa...... lakini hata dhuluma ina gharama zake si mmeziona........kama la ccm tu
Kima wa mataifa anashangiliaga kufungwa?wa mchangani wanashangilia droo
Uwanja ungebaki zege tuUnadhani nn kingetokea kama refa 'ANGEKATAA' na lile goli la kona[kichuya]!!!?
Hakika nawaomba sana Wachambuzi wa Tanzania hebu tuuchambue mchezo wa ligi Kuu Vodacom kati ya Simba Na Yanga uliofanyika katika Uwanja wa Taiga Leo tarehe 01/10/2016.Tujikite kati viwango vya wachezaji, Makocha, Marefa ili tuondoa mawazo chanya miongoni mwa mashabiki.
Hahahahaaaaa Nifah kwanini? Acha tupunguze machungu, maana utasema siye ndio tumefungwa. Baada ya hao wa matopeni kudraw. Ila nimechukia acha tu dearSijui kwanini lakini nahisi wewe ndio yule dada yangu wa Sinza [emoji12]
Hakika Vurugu za mashabiki wa soka Leo Uwanja wa Taiga zimesababishwa Na Refa wa mchezo wa Leo aliyekubali Goli la mkono lililofungwa Na Mchezaji Tambwe wa Yanga .Inashangaza sana kuona Refa amelikubali goli hilo wakati aliliona kwani alikuwa karibu Na Huyo mchezaji lakini Kwa makusudi alilikubaki.Jama haitoshi Refa huyo akampa kadi nyekundu Nahodha wa Klabu ya Simba hali ambayo iliamsha hasira Kwa Mashabiki wa Simba Na kusababisha vurugu kubwa.Wakati umefika Kwa TFF kutafuta Marefa nje ya Tanzania kwani Marefa wetu wanachezesha Kwa Ushabiki.