The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,397
- 1,786
Alifanya kosa gani huyu hadi akafungiwa maana inabidi asichezeshe mpira wa ligi yoyote hapa TzMalinzi lazima ango'ke ili mpira wa tanzania uendelee...haiwezekan refaa ambaye katoka kufungiwa kwa kuchezesha mpira vibayaa afu leo anapewa deby kuchezesha....ila tunataka tuwambie nyinyi mnaobebwa na tff yakuwa simba au mnyama hakuna wa kumzuia kubeba kombe