Ligi Kuu Bara: Yanga vs Simba - Uwanja wa Taifa (1-1)

Refa n binadamu na awezi kuwa perfect 100% kwa iyo gori gori
Huo ubinadamu kwa matukio mawili makubwa yote yanayoigharimu Simba?Ajib anafunga goli anaambiwa la kuotea....labda hakuona,Simba inafungwa goli,sio tu kwa mpira uligusa mkono bali mpira ulitambaa kwenye mkono kuanzia juu kidogo ya kiwiko cha mkono hadi kwenye kiganja na kuupeleka mwelekeo wa golini mbele yake(refa) then unasema makosa ya kibinadamu.HUJUMA!
 
Leo ndala kagegeda kubwajinga takribani dakika 88 hivi kubwajinga limekaaa tu linafurahia mautamu ya ndala na kumkatia viuno.Heeee ile ndala anataka kupiiiz si kubwapori likashtuka kwamba linabakwa likarukaaa na mgegedo ukaishia hapo.
 
Hao waamuzi wameharibu mchezo kwa makusudi kabisa. Ingekua bahati Mbaya tungeona hata yanga wakionewa. Kwanini iwe simba tu. Lile goli lisingefungwa kwa kona ya moja kwa moja nadhani mwamuzi angekataa.
 
ukimaanisha kulikuwa na upangwaji matokeo kabla ya mechi kuanza?
Refa alishachukua hela na nyingine alianza kuzitumia juzi, sasa ilikuwa lazima ahakikishe Yanga inashinda. Kilichoharibu ni Barthez kushika kichwa baada ya mpira kutinga wavuni, refa akaona aibu kwa kuwa wachezaji wenyewe wa timu aliyotakiwa aibebe wameonyesha kujutia goli. sasa hivi Barthez anabebeshwa lawama kwa 'kukubali' goli wakati refa alkuwa anajipanga kulikataa
 
Mzee lilipotua miguuni nikahisi pumzi inakata, mbele yangu kuna dada anachupa ya maji nikampokonya nikanawa, mwingine kalala Chini ya viti, ilibidi nipande juu kabisa, pumzi ilikata kabisa, nikahisi network search
Pole mkuu, pole sana.
 
Leo ndala kagegeda kubwajinga takribani dakika 88 hivi kubwajinga limekaaa tu linafurahia mautamu ya ndala na kumkatia viuno.Heeee ile ndala anataka kupiiiz si kubwapori likashtuka kwamba linabakwa likarukaaa na mgegedo ukaishia hapo.
[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Yaaani leo nimekuwa na hasira na huyu refa wa leo kiasi kwamba ningekuwa uwanja na mguu wa kuku, angekiona aisee. TFF isipomchukulia hatua huyu refa basi naweza sema nchi hii haitkuja kupiga hatua yoyote ya kimichezo na mimi ndo itakuwa mara ya mwisho kufuatilia mpira wa kibongo
 
Ukibebwa kunja miguu, Yanga hawakuzingatia hilo.........wamebebwa na Refa Uchwara halafu wamening'iniza miguu

Mtoto Kichuya hakuamini kama Refa kakubali goli lake,refa rudisha hela ya Manji
 
BREAKING NEWS
Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa netball nchini ( *CHANETA*) ametangaza rasmi kumwita *Hamisi Tambwe* kwenye kikosi cha Timu ya Taifa.

*Taifa Qeens*
*Hawatakagi ujinga*
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Hao waamuzi wameharibu mchezo kwa makusudi kabisa. Ingekua bahati Mbaya tungeona hata yanga wakionewa. Kwanini iwe simba tu. Lile goli lisingefungwa kwa kona ya moja kwa moja nadhani mwamuzi angekataa.
tena Red card
 
inatia hasira sana..
 
nauga mkono Mawazo yko ila kuhusu kungoa viti baiunga mkono timu yangu na hii ni TAARIFA kuwa siku nyingine yatatokea makubwa zaidi ya hilo iko siku atatokea kichaa ataenda kuondoka na kichwa pumbavu kabisa yaani mtu atupangie matokeo na mke wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…