Kitendo kinachofanywa na Yanga kushirikiana na waamuzi Uchwara madhara yake hayataonekana leo wala kesho. Kumbukeni kuna mashabiki wa Simba wako Arusha, Mbeya, Mwanza nk hasira zao zimebaki mioyoni mwao. Heri wale wa Dsm wamemaliza hisia zao kwenye viti. Ila sie wa mbali amini nawambia hasira zao zitaishia siku moja kuvunja vioo vya basi lenu na huenda hata kuwapasua ngeu. Niseme mim binafsi nimekerwa sana na Reffa wa leo, sitak kusema ningefanya nin Taifa ila ningeshiriki kupaza sauti za kukemea maamuzi mabovu. Itz very shame. Tusifurahie upumbavu unaolitia Taifa hasara. Na hii inchi ikiendelea Kumchekea huyu Tajiri uchwara anayehonga waaamuz uchwara, mara kulipia viingilio vya mechi za Kimataifa kwa mashabiki Uchwara hakika Uwanja wa Taifa utabaki magofu.