Ligi Kuu Bara: Yanga vs Simba - Uwanja wa Taifa (1-1)

Ligi Kuu Bara: Yanga vs Simba - Uwanja wa Taifa (1-1)

TIMU ya vijana ya Yanga chini ya umri wa miaka 20, imeifunga Simba B mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki wa utangulizi kabla ya mechi baina ya timu za wakubwa za klabu hizo mchana wa leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Shukraan kwao, wafungaji wa mabao hayo Ayoub M Ayoub dakika ya 16 na Paul Godfrey dakika ya 38 ambao wamewafanya mashabiki wa Yanga waanze kushangilia mapema.

Kiungo wa Simba B, Dadi Mbarouk (katikati) akikimbia na mpira dhidi ya wachezaji wa Yanga B, Ally Mbondele (kushoto) na Maka Edward (kulia)
PAUL%2BGODFREY.jpg

Paul Godfrey (katikati) akishangilia baada ya kufunga bao la pili

Yanga B, inayofundishwa na beki wake wa zamani, Nsajigwa Shadrack Mwandemele leo iliwazidi kabisa wapinzani wao walio chini ya kocha Nico Kiondo, kiungo wa zamani wa Simba.
 
hii beki ya yanga hii! japo ni offside ila huyu bartez pumba kweli
 
Back
Top Bottom