Ligi Kuu Kenya yahitimishwa, Gor Mahia wamepewa ubingwa

Ligi Kuu Kenya yahitimishwa, Gor Mahia wamepewa ubingwa

Mapendekezo yangu ni

Ligi imaliziwe

Mazingira yakiwa sio rafiki

Ligi ifutwe

Maana kwa mujibu wa Kanuni bingwa anapatikana baada kila timu kucheza na kila timu nyumbani na ugenini na anayemaliza mechi zote akiwa na alama nyingi zaidi ndio anakuwa bingwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Alisikika shabiki mmoja kutoka madimbwini
 
Back
Top Bottom