Ligi kuu kuendelea kuanzia mwezi wa tatu

Ligi kuu kuendelea kuanzia mwezi wa tatu

Hiyo Mapinduzi Cup kama mpaka fainali ni siki kama 12, hizo 19 za Januari zinafanya kazi gani?
Nilichogundua wanaolalamikia ratiba ni Yanga. Mnaogopa nini?

Nina uhakika kikosi cha CHAN watapelekwa wachezaji wazoefu wa Simba, Yanga na Azam. Ni mwaka wa kampeni huu, kombe inabidi libaki Tanzania.
 
Nilichogundua wanaolalamikia ratiba ni Yanga. Mnaogopa nini?

Nina uhakika kikosi cha CHAN watapelekwa wachezaji wazoefu wa Simba, Yanga na Azam. Ni mwaka wa kampeni huu, kombe inabidi libaki Tanzania.
Unasema??
 
Back
Top Bottom