Ligi Kuu Soka Tanzania Bara 28 Dec 2016: Yanga Sc 4 Ndanda FC 0

Kwani si hawahawa Ndanda walitumwa kuzui simba waliposhindwa wakaenda kushtaki kwa kudai wapewe point? Au mmesahau hili ni tawi la mavyura.

Kwa taarifa yako Ndanda inafadhiriwa na Kigogo wa friends of Simba, na kama hujui Ndanda hajawi toa hata droo na Simba yeye akikutana na Simba anakenua si nyumbani wala ugenini.
 
Hii mechi ni ajabu sana..Ndanda wanaachia mabao kirahisi namna ile, kwa mpango ule wa muamala ni ngumu soka la Tz kusonga mbele
 
Mbona unajichanganya mara msimu huu, mara msimu huo au madeni yanakuvuruga..!?



Najua umeshaelewa hiyo point inayozungumzwa hapo!

Kilichotokea msimu huo hamtokisahau...


Wakati Klabu inayojitambua ikishinda Ubingwa....


Nyie MBUMBUMBU FC mkaamua kushinda Magoli... [emoji23]

Rage hakukosea aisee!
 
Kwa taarifa yako Ndanda inafadhiriwa na Kigogo wa friends of Simba, na kama hujui Ndanda hajawi toa hata droo na Simba yeye akikutana na Simba anakenua si nyumbani wala ugenini.
Kumbeeeeeeeee!!!!!
 
Mashabiki wa Mbumbumbu F.c hawana tofauti na mashabiki wa timu msanii hivi. Kwasababu wote wanaamani kwenye kununua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…