demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Bora yangekuwa ya kichwawi. Ni magoli ya M-PESA
Na mtakoma msimu huu (na si msimu huu tu) bali misimu yote inayokuja mbele yetu.
Mabao ya M-pesa yatapigwa mpaka muamue kuhamia ligi ya Malawi mkashindane na wamakonde... [emoji23]