Ligi Kuu Soka Tanzania Bara: Mbao FC 2 vs Simba SC 3 CCM Kirumba

Huu ni mpira wa karne ya nne
 
Yaani Roma kaniudhi na sasa mbao wananifanya nilale mapema but niwakumbushe tu mikia Yanga hua hana mchezo mwishoni mwa ligi,hili mlikumbuke
Yanga mke au mchumba wa Simba na waarabu Hana madhara
 
Ila watu mna mbwebwe, zile mbili zilikuwa zimeshachafua hali ya hewa sasa naona watu wametoka mapangoni huko!
Aisee wanasimba tokeni huko mapangoni njooni bana msiogope!
Ubingwa tunabeba!!!
 
Bora Wangekuwa Kuni Tupikie, Kelele Za Mikia Hatutalala Mtaani Leo
 
Jaman mwenye lile ngalawa la jangwan atupie mvua bado zinanyesha mbao zimeliwa leo hawatoki
 
Faaaaa######laaaaa weeeerr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…