Ligi Kuu Soka Tanzania Bara: Simba 2 vs Stand United1

Ligi Kuu Soka Tanzania Bara: Simba 2 vs Stand United1

Game za simba hazina msisimko kabisa,hadi kipindi cha pili pamepoa kama ndio dakika ya kwanza ya kipindi cha kwanza hahahaaa

Hii yote sababu mashabiki wake wamekata tamaa,ila niwape hongera walioshtuka mapema kuwa mwaka huu hawaondoki na kitu na bingwa ni yuleyule Dar Young Africans S.C
Tatizo lako hujui mpira halafu unapenda kuropoka nenda kashabikie netball
 
Game za simba hazina msisimko kabisa,hadi kipindi cha pili pamepoa kama ndio dakika ya kwanza ya kipindi cha kwanza hahahaaa

Hii yote sababu mashabiki wake wamekata tamaa,ila niwape hongera walioshtuka mapema kuwa mwaka huu hawaondoki na kitu na bingwa ni yuleyule Dar Young Africans S.C
Mbona mtaelewa tu...Tanzania hii hakuna kama Simba..nyie wengine mbeleko na tunawajua hah hah kikubwa ubingwa mwaka huu
 
Game za simba hazina msisimko kabisa,hadi kipindi cha pili pamepoa kama ndio dakika ya kwanza ya kipindi cha kwanza hahahaaa

Hii yote sababu mashabiki wake wamekata tamaa,ila niwape hongera walioshtuka mapema kuwa mwaka huu hawaondoki na kitu na bingwa ni yuleyule Dar Young Africans S.C
Hadi nimejitolea kuwapa Updates.... maana toka zile point za mezani zichache wamepoteana kabisa.
 
Dak 60 Bado Simba anaongoza.
 
Dak 65 Simba wanafanya mabadiliko Juma Luizio nje Pastory ndani.
 
Tatizo lako hujui mpira halafu unapenda kuropoka nenda kashabikie netball
[quote uid=207619 name="Nifah" post=21048974]HT.<br />Kiukweli washambuliaji wa Yanga hawapo makini.<br />Hata ukiangalia goli letu tumelipata kupitia kona tofauti na wenzetu waliofanya juhudi kupata goli la kusawazisha.<br />Ningependa Hajj Mwinyi Ngwali apumzishwe,mchezo wa leo umemkataa kabisa.[/QUOTE]Apply u kocha

Mkuu,hiyo ni comment yako ya siku 3 zilizopita uliniambia ni Apply ukocha baada ya 'kukunwa' na uchambuzi wangu wa soka uliotukuka.
Leo hii unaniambia mpira sijui tena?
Naomba tu nikupuuze.
 
[quote uid=207619 name="Nifah" post=21048974]HT.<br />Kiukweli washambuliaji wa Yanga hawapo makini.<br />Hata ukiangalia goli letu tumelipata kupitia kona tofauti na wenzetu waliofanya juhudi kupata goli la kusawazisha.<br />Ningependa Hajj Mwinyi Ngwali apumzishwe,mchezo wa leo umemkataa kabisa.
Apply u kocha

Mkuu,hiyo ni comment yako ya siku 3 zilizopita uliniambia ni Apply ukocha baada ya 'kukunwa' na uchambuzi wangu wa soka uliotukuka.
Leo hii unaniambia mpira sijui tena?
Naomba tu nikupuuze.[/QUOTE]
Mnafiki hajifichi swahiba [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dak Sabini Bado simba yupo mbele.
 
Game za simba hazina msisimko kabisa,hadi kipindi cha pili pamepoa kama ndio dakika ya kwanza ya kipindi cha kwanza hahahaaa

Hii yote sababu mashabiki wake wamekata tamaa,ila niwape hongera walioshtuka mapema kuwa mwaka huu hawaondoki na kitu na bingwa ni yuleyule Dar Young Africans S.C
Mpwa hapa tu ndio tunapishana.
 
Mbona mtaelewa tu...Tanzania hii hakuna kama Simba..nyie wengine mbeleko na tunawajua hah hah kikubwa ubingwa mwaka huu
Ila mkuu ngoja tu nikupongeze. Wewe ni shabiki wa ukweli wa Simba na unajielewa sana.
Tumekuwa pamoja ktk mechi zote sijawahi kukuona ukipanick wala kutoa matusi.
Hongera

BTW ubingwa ni wetu Yanga,hilo halina ubishi [emoji4]
 
Game za simba hazina msisimko kabisa,hadi kipindi cha pili pamepoa kama ndio dakika ya kwanza ya kipindi cha kwanza hahahaaa

Hii yote sababu mashabiki wake wamekata tamaa,ila niwape hongera walioshtuka mapema kuwa mwaka huu hawaondoki na kitu na bingwa ni yuleyule Dar Young Africans S.C
Shikamoo dada...............miss you. Nilikuwa nimehama nchi kidogo
 
Dakika 73 2-1 Stend United
 
Ila mkuu ngoja tu nikupongeze. Wewe ni shabiki wa ukweli wa Simba na unajielewa sana.
Tumekuwa pamoja ktk mechi zote sijawahi kukuona ukipanick wala kutoa matusi.
Hongera

BTW ubingwa ni wetu Yanga,hilo halina ubishi [emoji4]
Ahsante Nifah..tupo pamoja..ubingwa mwaka huu sisi kama simba tumewagomeaaaa iwe isiwe, kumbuka una mbao lazima uchezee na kesho una-draw na Mbeya City..kazi ipo hapo
 
Back
Top Bottom