Ligi Kuu Tanzania Bara, Februari 16, 2019: Kariakoo Derby, Yanga SC 0 - 1 Simba SC

Mliwahi kuwa na pesa kipindi cha Manji, mlifika wapi international level?

Siyo guarantee hiyo bosi, some coaches operate efficiently under small budgets.
Hawa Yanga mwaka 1998 walimaliza na Point 2 kwenye kundi lao
Hivi karibuni wamewekwa kundi 1 na Gor mahia na Rayo sport lakini bado wakadebela... Maneno tu kimataifa hawana kitu
 
Umesahau na aliyetoa assist ni yuleyule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu bora imepata matokeo leo, vyura fc wako kimya, msumari mmoja tu umewatosha kwa leo, tukutane tena msimu ujao.
 
Reactions: Tui
Timu bora imepata matokeo leo, vyura fc wako kimya, msumari mmoja tu umewatosha kwa leo, tukutane tena msimu ujao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…