Ligi Kuu Tanzania Bara, Februari 16, 2019: Kariakoo Derby, Yanga SC 0 - 1 Simba SC

Ligi Kuu Tanzania Bara, Februari 16, 2019: Kariakoo Derby, Yanga SC 0 - 1 Simba SC

Siku ya kumbukumbu baada ya mwezi mmoja kupita.
Wana Yanga njooni tukumbushie tarehe ya Leo 16 ya mwezi wa pili baada ya kufungwa na mtani wetu simba.
Mi ka mwana Yanga lazima niikumbuke mana ni msimu wa tatu sijamfunga mtani wangu inauma saana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ya kumbukumbu baada ya mwezi mmoja kupita.
Wana Yanga njooni tukumbushie tarehe ya Leo 16 ya mwezi wa pili baada ya kufungwa na mtani wetu simba.
Mi ka mwana Yanga lazima niikumbuke mana ni msimu wa tatu sijamfunga mtani wangu inauma saana.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kagere wa kimataifa yule.
 
Back
Top Bottom