Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahaaa. Waambie Sijambo nipo nakuja na randa na Msumeno kwa ajili yao.Mbao wanakusalimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa. Waambie Sijambo nipo nakuja na randa na Msumeno kwa ajili yao.Mbao wanakusalimia
Mtani umeamka poaHahaaa. Waambie Sijambo nipo nakuja na randa na Msumeno kwa ajili yao.
Leo zam yakoHahaaa. Waambie Sijambo nipo nakuja na randa na Msumeno kwa ajili yao.
Acha tu yaani. Maana nakutana na Mbabe wenu. 😀😀
Nimeamka poa Mtani. Nimeona mambo yenu ya jana
Jerry Muro umemsikia janaNiko poa Mtani. Nimeona mambo yenu ya jana
Mbabe WETU. Unajifanya ushasahau kile kipigo kimoja ulichonacho kwenye Msimamo wa ligi kimetoka wapi eee.
Nimeoziona ona habari zake. Ila sijazifuatilia. Kwani ana jipya gani?
Ungemsikiliza kwanza siyo unatoa hukumuNimeoziona ona habari zake. Ila sijazifuatilia. Kwani ana jipya gani?
Kwani nimehukumu Mtani. Sijamsikiliza alichokisema ndio maana nauliza. Kasemaje?
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Simba ikishinda leo mwanajf mmoja aje HAWAII tukeshe [emoji8][emoji8][emoji8]
Ngoja niyakrem maneno yake halafu nije nikuhabarisheKwani nimehukumu Mtani. Sijamsikiliza alichokisema ndio maana nauliza. Kasemaje?
Ndio wewe Mzigua90: [emoji8]Sasa Simba mnazimiaje mapema hivi lakini?
Na mie niko hapa View attachment 1024192
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaaaaaa. Saa kumi nategemea Updates toka kwako.
Duuh! Hata siwezi Mtoto. Wacha nipambane na Timu yangu ya Wananchi mpaka tone la mwisho.
Kila la heri mbao fcDuuh! Hata siwezi Mtoto. Wacha nipambane na Timu yangu ya Wananchi mpaka tone la mwisho.
Updates pleaseDuuh! Hata siwezi Mtoto. Wacha nipambane na Timu yangu ya Wananchi mpaka tone la mwisho.