Ligi Kuu Tanzania Bara, Februari 16, 2019: Kariakoo Derby, Yanga SC 0 - 1 Simba SC

Ligi Kuu Tanzania Bara, Februari 16, 2019: Kariakoo Derby, Yanga SC 0 - 1 Simba SC

Kama ulikuwepo. [emoji12][emoji12][emoji12]

Hahahaaaa. Kuna muda nilikuja bana kisha ndio nikatoka.

HONGERENI. [emoji122][emoji122].
Jumamosi tumekutafuta bila mafanikio, ila nikaelewa kwamba umeme utakuwa umekatika huko kwenu.
 
Kama ulikuwepo. [emoji12][emoji12][emoji12]

Hahahaaaa. Kuna muda nilikuja bana kisha ndio nikatoka.

HONGERENI. [emoji122][emoji122].

Asante Mtani,

Wanasema tunapokezana, enzi zile mlitusumbua sana. Nakumbuka Jeri Muro na jina la Wakimataifa.
 
Back
Top Bottom