Mkia umeingia. Naona unajipinda.Mara ya mwisho chura kushinda dhidi ya Simba ni lini?Mkitoa sare mnafanya maandamano ya kusheherekea!!!!MKIA FC MMESHINDA BASI IMEKUWA TABU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkia umeingia. Naona unajipinda.Mara ya mwisho chura kushinda dhidi ya Simba ni lini?Mkitoa sare mnafanya maandamano ya kusheherekea!!!!MKIA FC MMESHINDA BASI IMEKUWA TABU
Heri ya Jumatatu Mtani.
Na kwako pia Mtani. Sijakuona jumamosi Mtani ulijifichia wapi?
Jumamosi tumekutafuta bila mafanikio, ila nikaelewa kwamba umeme utakuwa umekatika huko kwenu.
Kwahiyo nidai changu au?? [emoji23][emoji23]We mchekee anaenda kukupigia puli huyo toxic9
Naona kesho mnaanza kupasha viporo. Aiseeee.Jumamosi tumekutafuta bila mafanikio, ila nikaelewa kwamba umeme utakuwa umekatika huko kwenu.
Kama ulikuwepo. [emoji12][emoji12][emoji12]
Hahahaaaa. Kuna muda nilikuja bana kisha ndio nikatoka.
HONGERENI. [emoji122][emoji122].
Naona kesho mnaanza kupasha viporo. Aiseeee.
Haya bana zamu yenu kututambia sababu hatuna utetezi kwani kila kitu kipo wazi MtaniAsante Mtani,
Wanasema tunapokezana, enzi zile mlitusumbua sana. Nakumbuka Jeri Muro na jina la Wakimataifa.
Sasa Simba mnazimiaje mapema hivi lakini?
Na mie niko hapa View attachment 1024192
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuombee visituchachie.
[emoji23][emoji23][emoji23] Vichache tu. [emoji126][emoji126][emoji126]
hahahah nitumie bank account numberMkuu kwanza nikupe pole kwa kipigo ndio ujue kuwa simba ni level nyingine.
Nakumbushia tu ahadi yako hapa hahahahaaa maana muda unaenda
Kabisaaa Usemalo. Vp lakini mzima weye?Adui mwombee njaa au siyo!
Kabisaaa Usemalo. Vp lakini mzima weye?
Hahahaaa. Ulijua nilidhimia. [emoji85][emoji85][emoji85].Sijambo kabisa, hofu ilikuwa kwako zaidi, ila nimekuona nimefurahi.
Hahahaaa. Ulijua nilidhimia. [emoji85][emoji85][emoji85].
Haya uwe na Mchana mwema Mtani
Dalii kimokoooMimi huwa napenda wanavyolalama inaongeza utamu. Sijui kilio cha mahaba au povu la uchungu?
Kimoko.
Uongo siyo yeyeKumbe jamaa ana mke mzuri hiviView attachment 1025071View attachment 1025072View attachment 1025074
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tumeshinda tu,mmechezea kichapoMKIA FC MMESHINDA BASI IMEKUWA TABU