Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
MBAO 1 YANGA 2
MBAO SIMBA 1 - YANGA AFRIKA 2
Umetoka likizo baada ya kufungwa n SimbaaaMBAO SIMBA 1 - YANGA AFRIKA 2
HAMNA LIKIZO MKUU
1MBAO SIMBA 1 - YANGA AFRIKA 2
πππππ
ndio mkuu
mwambie asomee hiyoooooooooooo
sasa ulitaka nifanane na mkia fc?
Kagere wa kimataifa yule.Siku ya kumbukumbu baada ya mwezi mmoja kupita.
Wana Yanga njooni tukumbushie tarehe ya Leo 16 ya mwezi wa pili baada ya kufungwa na mtani wetu simba.
Mi ka mwana Yanga lazima niikumbuke mana ni msimu wa tatu sijamfunga mtani wangu inauma saana.
Sent using Jamii Forums mobile app