Aigoo
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 3,124
- 2,819
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana huwa nasema chama ni mchezaji anayezingua sometimes. Yanga wamekuja kuzuia na kufanya mashambulizi ya kushtukiza, sas chama unakuta tunaenda kushmbulia yeye anarudisha mpira kwa mabeki, yanga wanajaa nyuma tunashindwa kupita. Cha pili , kocha wetu kakosa mbinu ya mchezo, pasi fupi fupi zimeonekana kutosaidia, so kocha lazima abadili gem planWachezaji wa simba VP mbona wanatuangusha yanacheza utafikil haya taki kugunga bn
No shot on target.Wachezaji wa simba VP mbona wanatuangusha yanacheza utafikil haya taki kugunga bn
Kocha wa Simba approach zake za game ni zile zile hana jipya. Vipasi vifupi mpira slow wanakabwa kirahisi sana
Yaani 45 minutes no shot on target for Simba and these are the internationals we have.
Kocha hajui mpira mwingine zaidi ya slow na pasi fupifupi, anaboa ile mbayaNdio maana huwa nasema chama ni mchezaji anayezingua sometimes. Yanga wamekuja kuzuia na kufanya mashambulizi ya kushtukiza, sas chama unakuta tunaenda kushmbulia yeye anarudisha mpira kwa mabeki, yanga wanajaa nyuma tunashindwa kupita. Cha pili , kocha wetu kakosa mbinu ya mchezo, pasi fupi fupi zimeonekana kutosaidia, so kocha lazima abadili gem plan
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan nishida tupu hadi yana kera sisi tunataka magol bnNo shot on target.
Ally salum anaonekana ndio bora zaidi ya kina chama.
Huwa sijisimbui kwenda uwanjani mechi za simba cs yanga. Huwa zi aboa. Hata kipindi yanga iko juu mechi hii ilikuwa ujinga tu.[emoji23][emoji23][emoji23] hii ndio simba
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa Simba mnazimiaje mapema hivi lakini?
Na mie niko hapa View attachment 1024192
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nimekuona mdada mwenye jichura lakeSasa Simba mnazimiaje mapema hivi lakini?
Na mie niko hapa View attachment 1024192
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hatari ya watu kung'oa viti tena leo.
Ukija na matokeo mfukoni lazima usiamini uhalisia.
Sent using Jamii Forums mobile app