Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar yaitandika Simba kwa magoli 2-1

Manara na wenzie walidhani mambo yatakuwa mepesi hawakutanguliza muamala, ndio wameshtuka mwishoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo dakika 5 kila dakika ni 1Mil
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Inaonekana mtandao haukwa mzuri wa vodacom,Tigo,Hallopesa,nadhani watajilaumu maana hawakujaribu tena[emoji23][emoji23].
 
Naona unatuhamisha Mtani.
Hilo ni box la maji madogo lakini pesa zilizomo hata robo hazijafika ukicheki kwa umakini hata kidaka hamna wala msimba halafu mnajinadi kua timu ya wananchi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Inaonekana mtandao haukwa mzuri wa vodacom,Tigo,Hallopesa,nadhani watajilaumu maana hawakujaribu tena[emoji23][emoji23].
Kweli mkuu nimekwama hapa Bukoba japo hela ninayo kwenye Simu network haisomi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…