Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar yaitandika Simba kwa magoli 2-1

Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar yaitandika Simba kwa magoli 2-1

Manara na wenzie walidhani mambo yatakuwa mepesi hawakutanguliza muamala, ndio wameshtuka mwishoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo dakika 5 kila dakika ni 1Mil
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Inaonekana mtandao haukwa mzuri wa vodacom,Tigo,Hallopesa,nadhani watajilaumu maana hawakujaribu tena[emoji23][emoji23].
 
Naona unatuhamisha Mtani.
Hilo ni box la maji madogo lakini pesa zilizomo hata robo hazijafika ukicheki kwa umakini hata kidaka hamna wala msimba halafu mnajinadi kua timu ya wananchi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Inaonekana mtandao haukwa mzuri wa vodacom,Tigo,Hallopesa,nadhani watajilaumu maana hawakujaribu tena[emoji23][emoji23].
Kweli mkuu nimekwama hapa Bukoba japo hela ninayo kwenye Simu network haisomi kabisa
 
Back
Top Bottom