Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar yaitandika Simba kwa magoli 2-1

Ligi Kuu Tanzania Bara: Kagera Sugar yaitandika Simba kwa magoli 2-1

Hakuna shida, mechi nne tu tunachukua ubingwa
 
Timi inaonekana imekosa energy nadhani uchovu umechangia pia

Pasaka ishaharibika *****
 
Manara na wenzie walidhani mambo yatakuwa mepesi hawakutanguliza muamala, ndio wameshtuka mwishoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo dakika 5 kila dakika ni 1Mil
Wamefanya Transaction half tym...walifikiri itakuwa poa poa tu kama Tanga.
 
Back
Top Bottom