Ligi Kuu Tanzania Bara: Lipuli FC vs Yanga SC Kutoka dimba la Samora Iringa Machi 16-2019

Nmefika ndo nmeingia asubuhi hii nikitokea IRINGA NA KUPITIA TAIFA... Uhali gani nawe? Pole sana.usijali lakini samaki huwa hachinjwi anatolewa kwenye maji tu baada ya hapo anaandiliwa kwa ajili ya kuliwa...

Naweza leo kukuona angalau nikufute machozi maana jana ni moja ya siku mbaya sana kuwah kutokea maishani mwako..


Mmh. Naona ushafika Mtani.
 
Nishapoa aiseeee. Maana nilijua chozi langu ningelifuta kwa Mkapa halafu ikawa kinyume cha matarajio.

Hahahaaa. Yashaisha Majonzi Mkuu naganga yajayo sasa.
 
Tatizo mnajiharibia Simba walisema KILA MTU ACHEZE MECHI ZAKE.
Nyie hamkusikia mkataka mcheze na za Simba. Sasa hilo lime gharimu...ngoma si yako unaivalia kibwebwe...

Nishapoa aiseeee. Maana nilijua chozi langu ningelifuta kwa Mkapa halafu ikawa kinyume cha matarajio.

Hahahaaa. Yashaisha Majonzi Mkuu naganga yajayo sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…